Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa shukrani kwa  madaktari bingwa walioletwa na Jumuiya ya Kiislamu  ya Munadhammat Aldaawa  kwa kushirikiana na Ubalizi wa Tanzania nchini Saudi Arabia chini ya ufadhili wa Umoja wa Vijana wa Kiislamu duniani (WAMY) baada ya kumaliza kutoa huduma za matibabu kwa muda wa siku 10 kisiwani Pemba.
 Mkurugenzi wa Munadhamat Aldawa Al islamia Tanzania  Dkt. Khalid Al-Awadh akimueleza Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo huduma walizotoa  kisiwani Pemba kwa muda wa siku 10, (katikati) Mratibu wa WAMY nchini  Saudiarabia Dkt. Ibrahim Algamaan.
  Baadhi ya madaktari waliokuwa wakitoa huduma za afya Kisiwani Pemba kutoka Jumuiya ya Munadhamat wakiwa katika mkutano na Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo (hayup pichani) Ofisini kwake Mnazimmoja.
Mratibu wa WAMY  Dkt. Ibrahim Algamaan  akiwa na madaktari wenzake akimkabidhi zawadi Waziri wa  Afya Mahmoud Thabit Kombo kama ukumbusho wao kwake walipokwenda kuonana nae ofisini kwake Mnazimmoja. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...