Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akizungumza na Ujumbe wa Kamati Tendaji ya Milade Nabii iliyofika Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar kumualika Sherehe za Maulidi ya uzawa wa Mtume Muhammad {SAW } yanayotarajiwa kufanyika Tarehe 11 Disemba.
Kushoto ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa Kamati Tendaji hiyo ya Milade Nabii Sheikh Sheraly Shamsi na wa kwanza kutoka kulia ni Sheikh Hamad.
Wa kwanza kutoka kushoto ni Wajumbe wa Kamati hiyo Sheikh Ali na Sheikh Kassim Haidar.
Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Milade Nabii Sheikh Sheraly Shamsi akifafanua jambo wakati Kamati yake ilipofika kwa Balozi Seif kumualika ushiriki wa sherehe za Maulidi ya Uzawa wa Mtume Muhammad (SAW). Picha na OMPR – ZNZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...