Wajumbe kutoka Sekretarieti za Mikoa na wawakilishi kutoka Wizara
mbalimbali Serikali wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao cha pamoja
cha kupokea maoni kutoka kwa wadau hao ili yaweze kuzingatiwa kwenye Sera
inayofanyiwa mapitio.
Kamishna wa Kanda ya Dar es salaam Mathew Nhonge (Kulia) na
Kamishna Msaidizi wa Ardhi Kanda ya Ziwa , Joseph Shewiyo(Kushoto)
wakifuatilia kwa makini maoni yanayotolewa na wadau baada ya kupitia
Rasimu ya Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka, 2016 katika ukumbi wa VETA
Mkoani Morogoro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...