Wajumbe kutoka Sekretarieti za Mikoa na wawakilishi kutoka Wizara mbalimbali Serikali wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao cha pamoja cha kupokea maoni kutoka kwa wadau hao ili yaweze kuzingatiwa kwenye Sera inayofanyiwa mapitio.
Kamishna wa Kanda ya Dar es salaam Mathew Nhonge (Kulia) na Kamishna Msaidizi wa Ardhi Kanda ya Ziwa , Joseph Shewiyo(Kushoto) wakifuatilia kwa makini maoni yanayotolewa na wadau baada ya kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka, 2016 katika ukumbi wa VETA Mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...