Balozi
wa Ufaransa nchini Tanzania Bi. Malika BARAK akizungumza na Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma
na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) kuhusu
Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi (OGP)
alipomtembelea Waziri huyo leo.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akipitia nyaraka zilizowasilishwa
na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bi. Malika BARAK alipotembelewa na balozi huyo ofisini kwake leo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akisisitiza jambo
kwa Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bi. Malika BARAK (kulia) mara baada ya kupokea nyaraka kutoka kwa balozi huyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...