Hadi sasa Mikoa iliyo thibithisha kushiriki shindano la  Taifa Cup mpira wa kikapu katika jiji la  Arusha kuanzia tarehe 1-10 December 2016. 

1. Arusha timu 3
2. Manyara timu 1
3. Tanga timu 2
4. Kilimanjaro timu 1
5. Singida timu 1
6. Dodoma timu 2
7. Shinyanga Timu2
8. Mwanza timu 2
9. Mara timu 1
10. Kigoma timu1
11. Katavi timu 1
12. Rukwa timu 1
13. Iringa timu 2
14. Mbeya timu 2
15. Lindi timu 2
16. Mtwara timu 1
17. Pwani timu 2
18. Dae es salaamm timu 2
19. Unguja timu 2
20. Pemba timu 1
21. Morogoro timu 2
22.Kagera timu 1
23.Tabora timu 1
24.Geita  timu 1

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...