Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta nyumbani kwa marehemu jijini Dar es Salaam leo.Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo ukitokea nchini Ujerumani.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimia na mmoja wa watoto wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri Marehemu Samuel Sitta baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu kutoa pole ya msiba huo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na mmoja wa waombolezaji wa msiba wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...