Mkuu
wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizungumza na makundi ya vijana
wajasiriamali na wasanii wa Filamu jijini Arusha.Amesema fani hiyo ni
muhimu katika kuhamasisha maendeleo na kujenga mshikamano.
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha,Rebeca Mongy akizungumza juu ya mipango waliyonayo kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi,kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo na kulia Mkuu wa Idara ya maendeleo ya Jamii Jiji la Arusha,Tajiel Mahega.
Mkuu wa Idara ya maendeleo ya jamii Jiji la Arusha,Tajiel Mahega akizungumza katika mkutano huo.
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha,Rebeca Mongy akizungumza juu ya mipango waliyonayo kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi,kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo na kulia Mkuu wa Idara ya maendeleo ya Jamii Jiji la Arusha,Tajiel Mahega.
Mkuu wa Idara ya maendeleo ya jamii Jiji la Arusha,Tajiel Mahega akizungumza katika mkutano huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...