Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya kaskazini, Henry Tzamburakis cheti cha kutambua mchango mkubwa wa udhamini unaotolewa na kampuni hiyo katika kuadhimisha wiki ya Usalama barabarani jijini Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro(kushoto) akipatiwa maelezo kuhusiana na chama cha msalaba mwekundu unavyofanya kazi wakati wa kuadhimisha wiki ya Usalama barabarani jijini Arusha na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika viwanja vya shekhe Abed Karume. Baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani wakitazama bidhaa za Vodacom katika banda la Vodacom Tanzania kwenye wiki ya Usalama barabarabani inayoadhimishwa jijini Arusha.
Home
BIASHARA
MKUU WA WILAYA YA ARUSHA AZINDUA WIKI YA USALAMA BARABARANI MKOANI HUMO JANA CHINI YA VODACOM TANZANIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...