Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya kaskazini, Henry Tzamburakis cheti cha kutambua mchango mkubwa wa udhamini unaotolewa na kampuni hiyo katika kuadhimisha wiki ya Usalama barabarani jijini Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro(kushoto) akipatiwa maelezo kuhusiana na chama cha msalaba mwekundu unavyofanya kazi wakati wa kuadhimisha wiki ya Usalama barabarani jijini Arusha na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika viwanja vya shekhe Abed Karume. Baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani wakitazama bidhaa za Vodacom katika banda la Vodacom Tanzania kwenye wiki ya Usalama barabarabani inayoadhimishwa jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...