Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa njiani kurejea kijijini kwake Msoga, alisimama Ruaha Mkuu mkoani Iringa na kununua vitunguu na kuwaungisha vijana hao wanaojishughulisha na kilimo cha vitunguu.
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na vijana wajasiliamali hao ambao ni maarufu kwa ulimaji na uuzaji wa vitunguu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...