Rais
Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa njiani kurejea
kijijini kwake Msoga, alisimama Ruaha Mkuu mkoani Iringa na kununua vitunguu na
kuwaungisha vijana hao wanaojishughulisha na kilimo cha vitunguu.
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na vijana wajasiliamali hao ambao ni maarufu kwa ulimaji na uuzaji wa vitunguu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...