Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala leo amefunga na na viongozi wa dini kukagua ujenzi wa uwanja wa Ndege wa kimataifa was Songwe na kupata maelezo YA uendeshaji wa shughuli ktk uwanja huo
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala leo amefunga na na viongozi wa dini kukagua ujenzi wa uwanja wa Ndege wa kimataifa was Songwe na kupata maelezo YA uendeshaji wa shughuli ktk uwanja huo
 Uwanja huo ni mkubwa na una uwezo wa Ndege kubwa kama Airbus kutua na Ndege za mizigo zenye uwezo wa kubeba tani 500 hivyo itasaidia kusafirisha Maua , matunda   Na mbogamboga nje YA nchi moja kwa moja kutokea uwanja wa Ndege Songwe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...