Mkuu
wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala leo amefunga na na viongozi wa dini
kukagua ujenzi wa uwanja wa Ndege wa kimataifa was Songwe na kupata
maelezo YA uendeshaji wa shughuli ktk uwanja huo
Mkuu
wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala leo amefunga na na viongozi wa dini
kukagua ujenzi wa uwanja wa Ndege wa kimataifa was Songwe na kupata
maelezo YA uendeshaji wa shughuli ktk uwanja huo
Uwanja
huo ni mkubwa na una uwezo wa Ndege kubwa kama Airbus kutua na Ndege za
mizigo zenye uwezo wa kubeba tani 500 hivyo itasaidia kusafirisha Maua ,
matunda Na mbogamboga nje YA nchi moja kwa moja kutokea uwanja wa
Ndege Songwe
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...