7
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda akiwasili na viongozi wa Wilaya ya Temeke katika soko la Temeke Sterio kwaajili ya kusikiliza kero za wananchi na wafanyabiashara wa soko hilo.
8
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda na viongozi wengine wakikagua usafi wa soko hilo.
9
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda akizungumza na wafanyabiashara wa soko hilo.
10
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda akisikiliza na kujibu kero mbalimbali za wananchi wa soko la Temeke Sterio jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...