Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Profesa Shadrack Mwakalila (kushoto), Naibu Mkuu wa Chuo Mipango, Fedha na Utawala, Dk. Magreth Shawa na Naibu Ktibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, Dk. Leonard Akwilapo (kulia), wakiteta jambo kabla ya maandamano ya kuelekea eneo maalumu lililotengwa kwa ajili ya mahafali ya 11 ya chuo hicho yaliyofanyika Dar es Salaam jana.

Taswira meza kuu. Kutoka kulia ni Naibu Mkuu wa Chuo Mipango, Fedha na Utawala, Dk. Magreth Shawa, Meya wa jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, Mkurugenzi wa Elimu ya Ufunzi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Thomas Katebalirwe, Naibu Ktibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, Dk. Leonard Akwilapo, Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Profesa Shadrack Mwakalila, Naibu Mkuu wa Chuo Taaluma, Dk. Thomas Ndaluka na Katibu Tawala Wilaya ya Kigamboni, Rahel Mhando.
Naibu Ktibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, Dk. Leonard Akwilapo (kulia), akitoa cheti kwa mmoja wa wahitimu.

Wazazi, walezi na ndugu jamaa wa wahitimu hao pamoja na wafanyakazi wa chuo hicho wakijumuika kwenye ahafali hayo.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...