Sheikh Shariff Majini anawatangazia akina mama wote kuwa anaendelea na DUA kila siku kasoro siku ya IJUMAA na Dua ya pamoja ya watu wote ni kila Jumapili kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa saba mchana. nyumbani kwake Mabibo Mwisho. Sheikh anawakaribisha sana kwa ajili ya kupata DUA ambayo ni silaha tosha kwa kila mwanadamu. Dua ni bure kabisa.
Kwa mawasiliano ya Sheikh piga 0715-581552
 Sheikh Shariff Majini akiukaribisha uongozi wa mkoa wa BAKWATA
 Kinama waliojitokeza kupata mawaidha na DUA toka kwa Sheikh Shariff Majini 

Sheikh Shariff Majini akimuombea DUA mtoto mchanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...