Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Utawala ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw. Kirumbe Ng’enda akisisitiza jambo mbele ya wanachama wa Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya Juu wa Chama hicho(hawapo pichani) wakati wa Kongamano la kutathmini sekta ya elimu kwa kipindi cha siku 365 za uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli jana Jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho hilo Bw. Hamid Saleh Mhina na Katibu Msaidizi wa Shirikisho Bw. Daniel Zenda.
 Baadhi ya wanachama wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wakichangia mada wakati wa Kongamano la kutathmini sekta ya elimu kwa kipindi cha siku 365 za uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli jana Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wanachama wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wakichangia mada wakati wa Kongamano la kutathmini sekta ya elimu kwa kipindi cha siku 365 za uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli jana Jijini Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni Mtendaji wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Taifa, Bi. Deborah Charles, Mwenyekiti wa Shirikisho hilo Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Imani Matabula na Mgeni rasmi (Mnec) Kirumbe Ng’emba wakiandika hoja zilizoibuliwa na washiriki wa Kongamano la kutathmini sekta ya elimu kwa kipindi cha siku 365 za uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli lililofanyika Jijini Dar es Salaam jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...