SIMU.TV: Rais Dr John Pombe Magufuli ameongoza mamia ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika kuaga mwili wa aliyewahi kuwa waziri wa elimu Marehemu Joseph Mungai. https://youtu.be/yxiPYXzDKUw
SIMU.TV: Vikosi vya zima moto kwa kushirikiana na jeshi la polisi limefanikiwa kuthibiti moto uliozuka katika ghala la kuhifadhia vipuri vya pikipiki na baiskeli la Saba General lililopo jijini Dar es Salaam. https://youtu.be/W8Hx1xqMZGw
SIMU.TV: Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto amekishauri chama madaktari hapa nchini kujadili na kutoa mapendekezo namna ya kufanya mgawanyo kwa rasilimali watu katika sekta hiyo. https://youtu.be/JoWNFgRugQE
SIMU.TV: Serikali imewataka wenyeviti na waratibu wa uwezeshaji nchini kujipanga vyema na kufanikisha utekelezaji wa sera ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ya mwaka 2004. https://youtu.be/eIPZG7C_Uzc
SIMU.TV: Kampuni hodhi ya rasilimali za reli nchini imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha standard Gauge. https://youtu.be/MMFAG-Pop50
SIMU.TV: Wakazi wa kijiji cha Naisinyai mkoani Manyara wamezuia lango la mgodi wa Tanzanite one kwa madai kuwa mwekezaji amekiuka makubaliano. https://youtu.be/-KnXz4yzFIs
SIMU.TV: Serikali imezindua kampeni ya kuelimisha na kuhamasisha wananchi na watumishi wa umma kufanya kazi kwa kuzingatia maadili bora. https://youtu.be/fxM02gUGjL8
SIMU.TV: Maonesho ya taasisi za kifedha yamezinduliwa jijini Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa umma inayohusiana na huduma za kifedha kwa pamoja. https://youtu.be/VE0EXZYqoBg
SIMU.TV: Viongozi wa vyama vya ushirika na watunza maghala ya vyama vya ushirika mkoani Mtwara wametakiwa kuhakikisha wanunuzi wa zao la korosho wanatoa korosho kwenye maghala mara wanapo lipia. https://youtu.be/tOMRrjGDSSY
SIMU.TV: Maboresho ya uwanja wa gofu Lugalo yameendelea kwa ajili ya mashindano ya kumuenzi muanzilishi wa klabu ya gofu ya Lugalo Jenerali George Waitara. https://youtu.be/i279nc6Z8aA
SIMU.TV: Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga wamejiweka katika nafasi nzuri ya kuutetea ubingwa huo baada ya kuifunga Ruvu Shooting mabao mawili kwa moja. https://youtu.be/iiyytgaXYes
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...