SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Lindi Geodfrey  Zambi ameahidi kuunda kamati kwa ajili ya ufuatiliaji wa mgogoro kati ya wakulima na wafugaji katika kata ya Somanga wilayani Kilwa. https://youtu.be/P169k8eiyj0

SIMU.TV: Naibu waziri ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira ametoa agizo kwa wataalamu kupima maji yanayotoka katika mgodi wa Geita ili kubaini kama ni salama kwa wananchi wanaozunguka mgodi huo. https://youtu.be/wTqufjWeyIE

SIMU.TV: Mkamu wa rais mama Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali inashughulikia changamoto zinazoikabili sekta ya viwanda ili kuboresha sekta hiyo. https://youtu.be/KXaZ3AH3FVM

SIMU.TV: Wakala wa usajili wa biashara na leseni BRELA umewataka vijana nchini kuchangamkia fursa ya mafunzo ya ujasiriamali ili waweze kupata maarifa ya kujiajiri. https://youtu.be/N3s_8aOWE04

SIMU.TV: Askari sita wa kikosi cha usalama barabani kutoka mikoa mbalimbali nchini wameondolewa katika kikosi hicho na watapangiwa kazi nyingine kutokana na kutotekeleza majukumu yao kikamilifu. https://youtu.be/6R9dT-bOdfw

SIMU.TV: Rais Dr. John Pombe Magufuli amekipongeza chuo kikuu huria kwa kutoa elimu ya juu kwa watanzania wengi na kuahidi serikali itaunga mkono kwa kuboresha miundombinu ya elimu. https://youtu.be/JsoEI_kTYDY

SIMU.TV: Tanzania imeshauria kutumia fursa za kijiografia zinazoizunguka ili kuweza kufika malengo ya uchumi wa viwanda. https://youtu.be/bmfzcncKHMU

SIMU.TV: Viongozi wa mikoa ya Lindi na Mtwara wametakiwa kuitafsiri sera ya uwezeshaji wananchi kwa vitendo ili kuwafanya wananchi kuwa na mabadiliko ya kifikra katika uzalishaji. https://youtu.be/wQ6fxBOzQmQ

SIMU.TV: Wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo imesema Tanzania itaendeleza ushirikianao wa sanaa uliopo kati yake na nchi ya China. https://youtu.be/Iv_-ZnuHwRY

SIMU.TV: Miss Tanzania wa mwaka 2016 Diana Edward amekabidhiwa bendera kwa ajili ya kuelekea nchini Marekani kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya kumsaka mrembo wa Dunia. https://youtu.be/Uv0H-6uPS8o

SIMU.TV: Mshambuliaji wa Real Madrid Gareth Bale amefanyiwa upasuaji wa kifundo cha mguu ambapo atakua nje kwa muda wa miezi minne. https://youtu.be/BFbyy-mscM4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...