Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Pamoja na mambo mengine waliyozungumza Balozi huyo alimpa Mhe Spika pole kufuatia Kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta .
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimueleza jambo Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
KUSOMA HABA BOFYA HAPA
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi kilichokutana kwa dharura kujadili kuhusu hoja ya kuahirisha Bunge kufuatia kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta ambapo Kikao hicho kiliridhia Bunge liahirishwe ili Waheshimiwa Wabunge wapate muda wa kuomboleza kufuatia Msiba huo.
Picha na Ofisi ya Bunge.
Picha na Ofisi ya Bunge.
KUSOMA HABA BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...