Mkurugenzi wa TradeMark East Africa, John Ulanga akifungua warsha ya Chama cha Wafanya Biashara, Wanawake wa Tanzania, Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCCIA) kuhusu namna ya kufanya biashara kwenye soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyohudhuriwa na wanawake wafanyabiashara wa mipakani jijini Dar es salaam
Sehemu ya washiriki wa warsha ya Chama cha Wafanya Biashara Wanawake wa Tanzania Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCCIA)
Mkurugenzi wa TradeMark East Africa, John Ulanga, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam le, baada ya kufungua warsha ya Chama cha Wafanya Biashara, Wanawake wa Tanzania, Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCCIA) kuhusu namna ya kufanya biashara kwenye soko la Jumuiya ya Afrika, Mashariki iliyohudhuriwa na wanawake wafanyabiashara wa mipakani. Kushoto ni Mwenyekiti wa TWCCIA, Mama Jacline Mneney Maleko.
Picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa warsha hiyo |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...