Tukio la moto Bandarini leo limepelekea kuibua taharuki kubwa miongoni mwa baadhi ya wafanyakazi waliokuwa eno hilo,kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa kuibuka kwa moto huo ilikuwa ni zoezi la jaribio kwa kikosi cha Zimamoto Bandarini hapo walipokuwa wakifanya mazoezi namna ya kukabiliana na janga la moto linapotokea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...