Tukio la moto Bandarini leo limepelekea kuibua taharuki kubwa miongoni mwa baadhi ya wafanyakazi waliokuwa eno hilo,kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa kuibuka kwa moto huo ilikuwa ni zoezi la jaribio kwa kikosi cha Zimamoto Bandarini hapo walipokuwa wakifanya mazoezi namna ya kukabiliana na janga la moto linapotokea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...