Meneja  wa Vodacom Tanzania Kanda ya Morogoro, Michael Kasubi  (katikakati )akiwa kwenye picha ya  pamoja na wachezaji wa mpira wa miguu  walioshiriki katika  bonanza la Kichuo Zaidi lililoandaliwa na kampuni hiyo katika chuo kikuu cha Mzumbe.
 Wanafunzi wa chuo chuo kikuu cha Mzumbe wakicheza mpira wa volleyball katika bonanza la Kichuo Zaidi lililoandaliwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika viwanja vya chuo hicho mwishoni mwa wiki.

 Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo kikuu cha Mzumbe na  wa mwaka wa pili na watatu wakishiriki katika mchezo wa kuvuta wa kamba wakati wa Tamasha la Kichuo Zaidi lili hitimisho la mauzo ya Vodacom lililoandaliwa chuoni hapo.
.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...