Mashabiki wa muziki wa Singeli wakishuhudia Msaanii Mallo akifanya vitu vyake kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya CCM Mwijuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam leo.

Wasanii wa muziki wa Singeli wakionyesha vipaji vyao vya kusakata muziki huo kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya CCM Mwijuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam leo.
Beki wa timu ya soka ya veterani Mango Garden, Hamis Ramadhani (kulia )akimdhibiti Mshambuliaji, Nicolaus Benedict, kwenye pambano la kirafiki la Mziki mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania kwenye viwanja vya Mango Garden, Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...