Maafisa wa idara ya wanyapori wakiangalia mmoja wa mizoga iliyokufa kutokana na ugonjwa wa Kimeta katika Shoroba ya Selela wilayani Monduli mkoa wa Arusha.

Daktari wa Mifugo wa halmashauri ya wilaya ya Monduli,Yandu Marmo akimkagua mnyama aliyekufa kwa ugonjwa wa Kimeta.



Ndege wakiwa wamejikusanya kula mizoga iliyokufa kwa ugonjwa wa Kimeta.


Maafisa wa Shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa) na Idara ya Wanyamapori wakiwa kwenye Shoroba ya Selela kudhibiti ugonjwa wa Kimeta,katikati ni Meneja Uhusiano wa Tanapa,Pascal Shelutete na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara,Noelia Myonga kulia kwake wajidaliana jambo.

Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara,Noelia Myonga(kushoto) akizungumza wakati wa kupanga mikakati ya kudhibiti ugonjwa wa Kimeta ambao unahusisha watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na Idara ya wanyamapori.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...