Balozi mstaafu wa Tanzania nchini China na Sudan na mkuu wa mikoa mbalimbali katika serikali ya awamu ya kwanza Balozi Waziri Juma (pichani) amefariki dunia jana jijini Dar es salaam alikopelekwa kwa matibabu.
Kwa mujibu wa binti yake Mwanamuziki Kida Waziri, mwili wa marehemu utasafirishwa leo  Jumatano kupelekwa Tanga kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika siku ya Alhamisi kijijini kwake Nairobi Jirihini kata ya Gombero Wilaya ya Mkinga mkoa wa Tanga.
Innalillah Wa inna ilayh rajiun
Mola aiweke roho ya 
marehemu mahali pema peponi
- Amin,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...