Kwa masikitiko makubwa Captain  Denis Mshami wa wakala wa ndege za serikali anasikitika kutangaza kifo cha mke wake mpenzi HUSNA HALID KILUVIA MSHAMI (pichani) kilichotokea leo tarehe  7.11.2016.
Msiba upo nyumbani kwa Capt. Mshami huko Ukonga Kipunguni Matembele.
Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki popote walipo.

Raha ya milele umpe eee Bwana 
Na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani - Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...