Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi wa Wizara Bwana Elvis Nyambita Magare, Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Ramani Idara ya Upimaji na Ramani kilichotokea tarehe 11/11/2016 Nyumbani kwake mtaa Mindu Upanga Jijini Dar es salaam. Ratiba ya kuaga Mwili wa Marehemu ni leo tarehe 14/11/2016 saa 4:00 Asubuhi hadi 7:00 Mchana na Kusafirishwa. Mazishi yatafanyika siku ya Jumatano tarehe 16/11/2016 Kijiji cha Shirati Wilaya ya Rorya Mkoani Mara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...