Meneja Tathmini na  Ufuatiliaji Miradi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Wendo Chiduo (kushoto) akihamasisha uanzishwaji wa Mifuko ya Elimu kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoa wa Kigoma.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Joel Laurent akihamasisha uanzilishwaji wa Mifuko ya Elimu kwa Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Kasulu, Mkoa wa Kigoma.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Joel Laurent na mwanafunzi wa Shule ya Msingi Nengo iliyopo Kibondo yenye wanafunzi wenye mahitaji maaluum. Elimu maalum ni moja kati ya miradi inayaotekelezwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania.
Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Bi Sylvia Lupembe (kushoto) akihamasisha uanzishwaji wa Mifuko ya Elimu kwa Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Singida. 
Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Bi. Sylvia Lupembe akikagua mradi wa ujenzi wa Nyumba ya walimu katika shule ya Sekondari Isanzu iliyopo Wilaya ya Mkalama,Singida. Mradi huu unafadhiliwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania na ukitekelezwa na Watumishi Housing Company.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...