Mshindi
wa Jumla wa kombe la Mkuu wa Majeshi Mstaafu George Waitara, kutoka klabu ya
Lugalo Juma likuli akiwa amenyenyua vikombe alivyokabidhiwa na Jaji Mkuu Mh Othman Chande aliyekuwa mgeni rasmi katika
mashindano hayo yaliyofanyika Jumamosi Novemba 19 jijini Dar es salaam.(
Mshindi
wa Kundi la Wanawake wa kombe la Mkuu wa Majeshi Mstaafu George Waitara, kutoka
klabu ya Lugalo Sophia Mathias akipokea zawadi ya Meza aliyekabidhiwa na Mke wa Jenerali Mstaafu
Waitara katika mashindano hayo yaliyofanyika Jumamosi Novemba 19 jijini Dar es salaam.(
Mkuu
wa Majeshi Mstaafu George Waitara,kulia akibadilishana Mawazo na wachezaji mwenzi
ambaye ni katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Abdulrahman Kinana (katikati)
katika mashindano yaliyofanyika Jumamosi Novemba 19 jijini Dar es salaam kushoto ni katibu mkuu
Wizara ya ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mh Job Masima.(
Mwenyekiti
wa Klabu ya Lugalo brigedia Jenerali
Michael Luwongo akiwa ameshika zawadi ya kikombe alichokabidhiwa na Chama cha Golf Tanzania TGU ikiwa ni
ishara ya Kutambua Mchango wa Klabu hiyo katika kukuza mchezo wa Golf Nchini kulia
ni mweka hazina wa TGU Akhil Yusuphali mara baada ya mashindano ya Waitara yaliyofanyika
Jumamosi Novemba 19 jijini Dar es salaam
Mkuu
wa Majeshi Mstaafu George Waitara,kulia akibadilishana Matokeo na wachezaji
wenzie,katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Abdulrahman Kinana (kushoto) na katibu mkuu wizara ya ulinzi na Jeshi la
Kujenga Taifa Mh Job Masima katikati katika mashindano ya Waitara Trophy Jumamosi Novemba 19 jijini Dar es salaam.(Picha zote na Luteni Selemani
Semunyu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...