Mbunifu
wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Zacharia Maziku,
akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na
kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea
kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika
zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The
Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers
of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye
Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Picha na Mafoto
Blog
Mbunifu
wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Zacharia Maziku,
akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na
kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea
kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika
zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The
Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers
of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye
Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Vujana wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya EFA Production Solutions Ombeni Selestine, wakati wakilitembelea Ofisi yake jana.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya EFA Production wakijaza Lotion katika makopo kwa kutumia mikono tayari kwa kupaki katika maboksi na kuuzwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...