Fidel Castro afariki akiwa na umri wa miaka 90 akiachanyuma historia ya kutatanisha ambapo wakazi wa nchi zinazoendelea wanamchukulia mkombozi mpenda maendeleo, huku nusu ya wakazi wake wakimtaja mkandamizaji kiongozi wa mabavu. Hata hivyo wakazi wengi wanamchukulia ni mkombozi wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...