Wachezaji wa timu ya soka ya Vodacom Tanzania, Voda Stars, Mbisso Ephram (kushoto), Gabby Magori na Astrid Mapunda (kulia),wakimbana mchezaji wa timu ya Jipange Venture,Rajabu Juma ( wa pili kulia) kwenye mechi ya kirafiki katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam leo Novemba 26, 2016. Voda Stars ilishinda 1-0.
Mshambuliaji wa Jipange Venture, Rajabu Juma ( kulia) akijaribu kuiwatoka wachezaji wa timu ya soka ya Vodacoma Tanzania, Voda Stars, Mbisso Ephram (kushoto) na Gabby Magori kwenye mechi ya kirafiki katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam leo Novemba 26, 2016. Voda Stars ilishinda 1-0.
Mchezaji wa timu ya soka ya Vodacom Tanzania, Voda Stars, Gabby Magori (kushoto) akichuana na Shaaban Abdi wa timu ya Jipange Venture, kwenye mechi ya kirafiki katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam leo Novemba 26, 2016. Voda Stars ilishinda 1-0.
Mfungaji wa goli pekee la timu ya soka ya Vodacom Tanzania, Voda Stars, Astrid Mapunda akishangilia bao lake wakati timu yake ilipocheza na timu Jipange Venture, kwenye mechi ya kirafiki katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam leo Novemba 26, 2016. Voda Stars ilishinda 1-0.
Wakiwa katika picha ya pamoja ni kikosi cha timu ya soka ya Vodacom Tanzania, Voda Stars iliyocheza kwenye mechi za kirafiki katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam leo Novemba 26, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...