Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na maendeleo ya Makazi Dkt Yamungu Kayandabila Akiwahakikishia wadau kwamba Maoni yao yatafanyiwa kazi.Dkt kayandabila ameyasema hayo wakati wa zoezi la kukusanya maoni kutoka kwa Wadau Ukumbi wa VETA Mkoani Morogoro.
Dkt. Ringo Tenga wa Chuo Kikuu Dar es salaam akishiriki kutoa maoni kuhusu marekebisho ya Sera mpya ya Ardhi ya Mwaka 2016 Ukumbi wa VETA Mkoani Morogoro.
“Pamoja na kuwaalika wawekezaji Tulinde maeneo ambayo ni Vyanzo vya chakula” hayo ni baadhi ya Maoni ya Dr Ringo Tenga kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam aliyo wasilisha wakati wa zoezi la kukusanya maoni ya wadau kuhusu Sera Mpya ya ardhi ya mwaka 2016 katika ukumbi wa VETA Mkoani Morogoro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...