Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Prof Ayoub Magimba, akizungumza na wadau mbalimbali wa afya juu ya Ujenzi wa vyoo bora,katika mkutano wa kujadili suala la hedhi salama, leo jijini Dar es Salaam.Prof.Ayoub alisema kuwa hauna budi kuzingatia mahitaji muhimu ya mtoto wa kike hasa anapokuwa kwenye hedhi kutokana na takataka zinazotokana na hedhi ni taka hatarishi,hivyo ni vyema zikadhibitiwa vilivyo.
Wadau mbalimbali wa afya wakiwa katika mkutano huo leo jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...