Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akibadilishana mawasiliano
na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bi. Sarah Cooke (kulia)
alipomtembelea ofisini kwake leo.
Balozi
wa Uingereza nchini Tanzania Bi. Sarah Cooke (wa kwanza kulia)
akifurahia jambo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti
ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb)
(hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake leo.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akisisitiza jambo wakati wa
mazungumzo na Balozi
wa Uingereza nchini Tanzania Bi. Sarah Cooke (wa kwanza kulia)
alipomtembelea ofisini kwake leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...