Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akimsikiliza kwa umakini Balozi wa Korea Nchini Tanzania Bw. Chung IL alipomtembelea Waziri Ofsini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam kuzungumzia masuala mbalimbali yanayohusu mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Korea Nchini Chung IL (wa pili kushoto) Ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Wengine ni Afisa kutoka Ubalozi wa Korea, Afisa toka Wizara ya Mambo ya nje na wa mwisho kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...