Mama Margareth Sitta ambaye ni Mjane wa marehemu Spika mstaafu,  Samuel Sitta akitupa udongo kwenye kaburi la mumewe katika kazishi yaliyofanyika Urambo, Tabora, Jumamosi Novemba 12, 2016.
 Bibi Kagoli Fundikira ambaye ni Mama Mzazi wa marehemu  Spika Mstaafu Samuel Sitta     akitupa udongo kwenye kaburi la mwanae katika mazishi yaliyofanyika Urambo, Tabora  
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mama Mary Majaliwa wakitupa udongo kwenye kaburi la Spika Mstaafu, marehemu Samuel Sitta katika mazishi  yaliyofanyika Urambo.
 Mjane wa Marehemu Spika Mstaafu, Margareth Sitta, Mama Mzazi wa marehemu,  na watoto wa marehemu wakigusa jeneza na kushuhudia wakati mwili wa marehemu Samuel Sitta ulipokuwa ukiteremshwa kaburini katika mazishi yaliyofanyika urambo, Tabora.
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.  Job Ndugai akiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu, marehemu Samuel Sitta. 

Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...