Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Gabriel Daqarro(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya kaskazini Bw. Henry Tzamburakis cheti cha kutambua mchango mkubwa wa udhamini unaotolewa na kampuni hiyo  katika kuadhimisha wiki ya  Usalama barabarani jijini Arusha.

Baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani wakitazama bidhaa za Vodacom katika  banda la Vodacom Tanzania kwenye wiki ya Usalama barabarabani inayoadhimishwa jijini Arusha.
 Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilayaya Temeke jijini Dar es Salaam Mhe. Felix Lyaviva akisalimiana na makamanda wa polisi, Uhamiaji, Magereza, Zimamoto, viongozi wa dini na wajumbe wa Baraza la Usalama Barabarani mkoa wa Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Nenda kwa Usalama katika viwanja vya Mwembe Yanga.

 Kamanda wa polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Temeke, (RTO) ASP Solomon Mwangamilo akitoa maelekezo.
 Wanafunzi  wa sekondari wakishiriki maandamano ya ufunguzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mbona wahandisi wa barabara na wahandisi wa mwendo na ajali hawahusishwi. Rungu hariwezi kuondoa vifo hivi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...