SIMU.tv: Ni lini serikali itaanza ujenzi wa barabra ya kilimita 10 ndani ya mji wa Nzega? Swali kutoka kwa mbunge wa Nzega Mhe. Bashe. https://youtu.be/W_4h6Lwn_3c
SIMU.tv: Kwanini serikali ya jamhuri China isichangie gharama za matibabu kwa wananchi wanaopata ajali za bodaboda? Haya majibu ya serikali; https://youtu.be/2IQQaxie1hk
SIMU.tv: Je,serikali imeandaa utaratibu gani wa kukagua watoto wa umri chini ya miaka 5 ili kufahamu kama wamekeketwa? Haya hapa majibu ya serikali. https://youtu.be/5Aq-auXFpeU
SIMU.tv: Serikali yatolea ufafanuzi kuhusu wachimbaji wadogo wa dhahabu jimbo la Mbongwe kupewa maeneo ya kuchimba. https://youtu.be/aMXU-GjpOqU
SIMU.tv: Je,serikali imefikia hatua gani kuhusu kuwatafutia soko wakulima wa mazao mbalimbali nchini? Hapa waziri Charles Mwijage anafafanua. https://youtu.be/FhCQ-QU4Fns
SIMU.tv: Je, serikali ina mpango gani wa kuhalalisha viwanda vya kutengeneza kinywaji cha Gongo ili kuchochea uchumi wa kati? Haya hapa majibu. https://youtu.be/TzosIy7YMrI
SIMU.tv: Je, ni nini umuhimu wa kuwa na mabaraza ya ardhi nchini? Hapa naibu waziri wizara ya ardhi Mhe. Mabula anatoa ufafanuzi; https://youtu.be/gNPkuCYpXGg
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...