Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Zavala, Buyuni wilayani Ilala, Chiku Mwalufamba, akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wa kike wakati akimpeleka kwenye Kituo cha Polisi cha Chanika, baada ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutoa amri ya Mwenyekiti huyo wa mtaa kushindwa kutoa maelezo ya kuridhirisha dhidi ya thuhuma za kuuza viwanja vya umma kiyume cha sheria, zilizotolewa na baadhi ya wananchi katika mkutao wa hadhara alioanya Makonda kweye viwaja vya Kituo cha Polisi cha Chanika, akiwa katika ziara ya kusikiliza na kuzitafutia ufumbuzi kero za wananchi, wilayani ilala, leo.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Zavala, Buyuni wilayani Ilala, Chiku Mwalufamba, akingizwa kweye gari la Polisi chini ya ulinzi,
Meneja uzalishaji wa kiwanda cha Tanzania Pasta Industries Limited, Imran Ul Rashid akiyooshamkono kumumpa maelezo Makonda iyekuwa akikagua shughuli za kiwanda hicho
Meneja uzalishaji wa kiwanda cha Tanzania Pasta Industries Limited, Imran Ul Rashid akiyooshamkono kumumpa maelezo Makonda iyekuwa akikagua shughuli za kiwanda hicho
Baadhi ya ananchi wakiwa kwenye barabara ya Segerea Bonyokwa ambayo ipo katika kujengwa kwa kiwango cha lami

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alikagua pia ujenzi wa daraja linalounganisha Bonyokwa na Kinyerezi wilayani Ilala, ambalo ujnezi wake umekuwa ukisua sua kukamilika. Makonda ameiagiza kampuni inayofanya ujenzi huo kuhakikisha unakamilika baadaya siku 25 kuanzia leo. Vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa dhidi ya kampuni hiyo ya Alex, ikiwemo kutopewa kazi yoyote mkoani Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...