Moja
ya eneo la lililotumiwa na kampuni ya Polyphon Film ya nchini Ujerumani
ikirekodi Filamu inayozungumzia maisha kwa ujumla eneo la Kogatende
ndani ya Hifadhi ya taifa ya Serengeti mkoa wa Mara na inatarajiwa
kukuza utalii .
Mkurugenzi
wa kampuni ya Hatari Lodge ya jijini Arusha(kushoto)Gabriel na Meneja
Uzalishaji wa kampuni ya Polyphon Film,Manuel Shrouder wakiwa eneo la
kutengeneza filamu hiyo itakayooneshwa kwenye kituo maarufu cha Runinga
cha ZDF nchini Ujerumani na kutazamwa na zaidi ya watu 10 milioni katika
nchi tatu zikiwemo Austria na Uswizi.
Meneja
Uzalishaji wa kampuni ya Polyphon Film,Manuel
Shrouderk(kulia)akisalimiana na Mkurugenzi wa Utalii na Masoko wa
shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa)Ndg Ibrahim Mussa(katikati)
anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa kampuni ya Hatari Lodge ya jijini
Arusha,Gabriel.
Sehemu ya magari yaliyobeba vifaa vya kutengeneza filamu hiyo ambayo imegharimu kiasi cha Euro 1.7 milioni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...