Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Gaudensia Simwanza (kulia) akitoa maelezo kwa wateja wa waliofika katika banda la TFDA katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Kaimu Meneja huduma kwa wateja na Elimu kwa Umma Ndugu Jemes Ndege( kulia)akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika banda la TFDA katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mwalimu wa Umeme VETA Kipawa, Athuman Ubaya akitoa maelezo kwa wananchi waliofika katika banda la TFDA katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Uchumi na Biashara wa Nchini, Ukraine, Nataliya Mykolska akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Masoko na Mauzo wa Azam, Omary Kuwe walipotembelea banda la Azam katika Maonesho ya Viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata huduma katika banda MeTL katika maonesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...