Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Fadhili Nkurlu ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliouziana majengo ya hoteli kubwa na nyumba mjini Kahama kufikisha mikataba yao ya mauziano ofisini kwake ndani ya siku saba ili kutoa nafasi kwa TRA kuifanyia ukaguzi ambapo amedai kuwa sehemu ya biashara hizo zimekuwa zikifanyika kimya kimya hali ambayo imekua ikiikosesha serikali mapato.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...