Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Fadhili Nkurlu ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliouziana majengo ya hoteli kubwa na nyumba mjini Kahama kufikisha mikataba yao ya mauziano ofisini kwake ndani ya siku saba ili kutoa nafasi kwa TRA kuifanyia ukaguzi ambapo amedai kuwa sehemu ya biashara hizo zimekuwa zikifanyika kimya kimya hali ambayo imekua ikiikosesha serikali mapato.
Home
Unlabelled
Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Fadhili Nkurlu atoa siku saba kwa wafanyabiashara kuwasilisha mikataba ya kuuziana majengo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...