Shughuli za masomo zilisimama kwa muda shule ya Nyeri High School nchini Kenya Jumatano asubuhi wakati mwanafunzi aliyeripoti kuanza elimu ya kidato cha kwanza alipotua kwa chopa.

Kijana Kevin Muriuki, aliyepasi katika shule ya msingi ya Karichen alipelekwa shuleni hapo kwa njiamya anga na chama cha veterani wa kikosi cha anga cha Kenya (Kenya Air Force Veterans Association).

Muriuki, anayetoka kwenye familia inayoishi kwenye mazingira magumu, ana ndoto ya kuwa rubani wa ndege na maveterani hao wakaona wamwonjeshe kwa kumpeleka shuleni kwa chopa. 

 Kijana Kevin Muriuki na chopa iliyompeleka shuleni Nyeri
 Kijana Kevin Muriuki na wazazi wake wakielekea kwenye chopa
 Kijana Kevin Muriuki akiaga 
Kijana Kevin Muriuki haamini bahati yake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. This is the best Inspiration sio kwake tu bali hata wanafunzi wenzake...safi sana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...