Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam Kamishina Msaidizi Wa Polisi Awadhi J. Haji, akimwelekeza mwendesha bodaboda namna sahihi ya kuvaa kofia ngumu.Hiyo in baada ya kuwapa elimu waendesha bodaboda na abiria ambao walikamatwa kwa kosa la kutovaa kofia ngumu (helmet) katika operesheni kali na endelevu inayoendelea jijini Dar es salaam ya kuwakamata bodaboda na abiria wasiovaa helment na wanaopakiwa abiria zaidi ya mmoja (mishikaki)  ili kuwanusuru na vifo au ulemavu wa kudumu pindi wanapopata ajali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...