Mkurugenzi wa sekta ya uzalishaji kutoka Jumuia ya Afrika Mashariki Jean Baptiste Havugimana akimkabidhi Mfamasia Mkuu wa Zanzibar Habib A. Shariff Mashine 6 za uchunguzi wa Dawa kutoka Ujerumani kwa kupitia mradi wa EAC, MRH Projat.
Professa. Richard Jahnke kutoka Ujerumani akitoa maelezo ya matumizi ya vifaa vipya vya uchunguzi wa dawa (Minilab Kid) kwa washiriki wa mafunzo ya siku 5 ya uchunguzi wa dawa kutoka nchi za Afrika Mashariki yaliyofanyika Mbweni.
Washiriki wa mafunzo ya uchunguzi wa dawa kujua kuwa ziko salama kwa matumizi ya binadamu wakiwa katika mafunzo ya vitendo yaliyofanyika katika Kitivo cha Madaktari cha Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar kilichopo Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
kurugenzi wa sekta ya uzalishaji kutoka Jumuia ya Afrika Mashariki Jean Baptiste Havugimana akimkabidhi cheti mshiriki wa mafunzo hayo, Hidaya Juma ambae ni Mratibu wa Mradi wa uwiano wa udhibiti wa dawa wa nchi za Afrika Mashariki ambae pia ni Mfamasia kutoka Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar.
Washiriki wa mafunzo ya uchunguzi wa Dawa kujua kama ipo salama kawa matumizi ya binadam kutoka nchi wanachama wa Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na wakufunzi wao na walikwa.Picha na Makame Mshenga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...