Baadhi ya wakazi wa Jiji la Mbeya wakiserebuka kwa staili ya aina yake kama ionavyo pichani wakati wimbo wa kinyakyusa ufahamikao kwa jina la "Pembetule" Ukiwa na maana ya Kucheza, Wimbo huo unaendelea kubamba maeneo mbali mbali ya Jiji na nje ya Jiji la Mbeya haswa kwenye Sherehe Mbalimbali.
Huu ndio uchezaji wa Wimbo huo lazima uwe na nguo ya ziada baada ya kumaliza kuucheza maana inaweza kuisha upande mmoja.
Mwana kaka akiendelea kupembetulika yaani kucheza Wimbo huo.
Pembetuleee.....Pembetuleeee..........Peembetuleeeee.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...