Watumishi Wawili wa Mamlaka ya Mapato (TRA) wanashikiliwa na vyombo vya dola wakituhumiwa kujihusisha na upitishaji Wa kemikali ambazo hutumika kutengenezea dawa za kulevya aina ya Heroin.
Kukamatwa kwa watumishi hao wa umma kumetangazwa  leo na Kamishina Wa Operasheni ya Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya Mihayo Msekela.
Kamishina wa Oparesheni wa Mamlaka ya Kuzuia na kupambana na dawa za kulevya,Mihayo Msikhela akifafanua japo alipokuwa akizungumza na baadhi ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali mapema leo,katika ofisi za Mamlaka hizo zilizopo Upanga,jijini Dar Es salaam kuhusiana na Operesheni za kuwakamata watuhumiwa waliojihusisha na biashara haramu ya usafirisha wa dawa za kulevya hapa nchini,ambapo katika Oparesheni hizo zinazoendelea nchini,ilionesha mafanikio kwa baadhi ya mikoa kama taarifa inavyoonesha hapo chini.PICHA NA MICHUZI JR.
Baadhi ya Waandishi wa habari wakimsikiliza Kamishina wa Operesheni wa Mamlaka ya Kuzuia na kupambana na dawa za kulevya,Mihayo Msikhela alipokuwa akizungumza na baadhi ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali mapema leo,katika ofisi za Mamlaka hizo zilizopo Upanga,jijini Dar Es salaam kuhusiana na Operesheni za kuwakamata watuhumiwa waliojihusisha na biashara haramu ya usafirisha wa dawa za kulevya hapa nchini
Kamishina wa Operesheni wa Mamlaka ya Kuzuia na kupambana na dawa za kulevya,Mihayo Msikhela akifafanua japo alipokuwa akizungumza na baadhi ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali mapema leo,katika ofisi za Mamlaka hizo zilizopo Upanga,jijini Dar Es salaam kuhusiana na Operesheni za kuwakamata watuhumiwa waliojihusisha na biashara haramu ya usafirisha wa dawa za kulevya hapa nchini,ambapo katika Operesheni hizo zinazoendelea nchini,ilionesha mafanikio kwa baadhi ya mikoa kama taarifa inavyoonesha hapa chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...