Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya CocaCola Tanzania, Basil Gadzios akionja Msisimko na muonekano mpya wa Coca-Cola kwanza uliobatizwa jina la Amsha Shangwe na Coca-Cola uliozinduliwa leo katika kiwanda cha Coca-Cola kwanza kilichopo Iyunga Jirani na Tazara mkoani Mbeya, timu nzima ya Coca-Cola kuzama Mtaani na kutambulisha muonekano Mpya wa Coca-Cola Amsha shangwe kwa wanambeya wote.
Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya CocaCola Tanzania, Basil Gadzios akizungumza jambo wakati akiwapongeza wafanyakazi wa Coca-Cola kwanza kwa kufanya vizuri Katika mauzo na kuwataka wafanyankazi kuongeza bidii kwa kufanya kazi yakinifu katika masoko ili kuleta tija katika kampuni hiyo. 
 Meneja wa Coca-Cola Tanzania, Sia-Louise Shayo akizungumza jambo mbele ya wafanyakazi na wadau wa Coca-Cola kwanza (hawapo pichani) Katika hafra fupi ya kuzinduwa kampeni ya muonekano mpya wa Coca -Cola Mkoani Mbeya uendao kwa jina la Amsha Shangwe na Coca-Cola kwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya.
Meneja Masoko wa Coca-Cola Tanzania, Peter Mpara Nae alipata Fursa ya kuelezea muonekano huo wa Amsha Shangwe na Coca-Cola kwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya Katika hafra fupi ya kuzinduwa kampeni ya muonekano mpya wa Coca -Cola Mkoani Mbeya uendao kwa jina la Amsha Shangwe na Coca-Cola kwa wakazi wa Mkoa wa Mbeya..
Baadhi ya Wafanyakazi na wadau wa Coca-Cola kwanza wakipata burudani ya muziki sanjari na kupiga picha kwa pamoja kwa kuamsha shangwe na Coca-ColaKatika.

PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...