Mwandishi
wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akiendesha semina ya
kunoa weledi wa taaluma ya uandishi wa habari kwa waandishi wa habari na
baadhi ya watumishi wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji
wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, leo katika Ukumbi wa Ofisi
Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Dk.
Ryoba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania
(TBC), ana shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD) katika Sayansi ya Jamii
aliyoipata katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwandishi
wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akiendelea kutoa
'nondoz' kwa wafanyakazi hao wa UPL, huku wafanyakazi hao wakimsikiliza
kwa makini sana
Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akifafanua mada zake kwenye semina hiyo ya kunoa weledi wa kitaaluma
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...