Akiwa Matema Beach, Ziwa Nyasa, wakati wa mazoezi yake ya kila siku asubuhi Waziri Mstaafu Profesa Mark Mwandosya amekutana na wana-kwaya kutoka Boda (mpakani), Kasumulu, Kyela, mkoani Mbeya wakifanya mazoezi ya kurekodi video ya nyimbo zao. Wana-kwaya hao walipomuona walifurahi sana na wakamualika aungane nao katika mazoezi hayo. Profesa Mwandosya hakusita. Akakubali kwa furaha. Na haya ndiyo matokeo yake...
Home
Unlabelled
HEART WARMER: PROFESA MWANDOSYA KATIKA MAZOEZI YA KWAYA MATEMA BEACH
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...