Kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa jijini Dar es salaam leo, soko la Sinza limelazimika kufungwa kwa muda kutoka na kujaa maji eneo lote la soko hilo.
 Barabara nyingi za Dar leo zimejaa maji, hali inayopelekea magari mengi 'kubuma' kama ionekanavyo pichani hapa.
Afande akitafakari jambo kufuatia uwingi wa maji katika barabara ya Bagamoyo eneo la Goigi jijiji Dar es salaam leo.
Wadau wakifanya mambo katika moja ya chemba iliyoziba kutoka na wingi wa uchafu uliokuwa umesombwa na maji hayo.
 Magari yote yamelazimika kupita upande mmoja wa barabara kutoka na wingi wa maji upande mwingine.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...